Sikiri mimi masikini uvivu wangu nyumbaani,
ukiwa huunjiana nakufa hapa kwa nini
sadiki sasa ashiiba chakula kingi kwa baba
nirudi tena kwa baba nakufa hapa kwa nini
naombaradhi nimekoosa ntakuwa mtoto mwema sasa
nitakuwa kama sadiki
na nyumbani tena sitooki baba na mamanisameeni
au
twapenda mambo yoote ya shule kabisa
kujua kusooomatwaona furaha
hhhA hhhE hhhI hhhO hhhU
twaimbavyema leo..
ongeza nyinine basi na wewe. hii inaitwa short break
5 Maoni::
Kwa kweli hapo nimecheka!! Ingekuwa vizuri ukarekodi tusikie sauti yako jinsi unavyouimba huo wimbo.
Kamal! hata mimi nimecheka mpaka nikakimbia chooni na pia mpaka nimepangusa machozi safi sana. nimeimba sana nyimbo hizi na bado naimba na watoto wangu: ngoja nami nikuimbie huu,
Maua mazuri yapendezax2 Ukiyatazama utachekelea
Hakuna mmoja asiyeyapendax2.
asante Kamala.
mh! mbona mimi sina mistari?
lini mkurya akawa na nyimbo? Anyway, nami nimeziiimbaga huko.
chib, mipango ya kuziimba ipo siku nyingi na nafikiri hivi karibuni utanisikia.
yasinta
inafurahisha, inakumbusha mbaali sana. jinsi ulivyokuwa kajitu sasa ni mtu mzima fulani.
nitendelea kuweka na nyingine
Hahahaaaaaa. Kuna ule wimbo wa kuimba wakati mnacheza kombolela.
Kuna zile za za kuimba wakati wa kwenda "kushenya" na kuvuta kokoro.
Dah! Safi sana
Post a Comment