
wapi hapo? sijui masuala ya bei jamani. usimtume mtoto hapo maanake???!
blog hii ni kwa ajili ya watu wanaopenda kufikri, kutoa hoja kujiuliza, kutafakari na kutafuta miendendo mipya. tujitambue, tutoke kwenye mazoea na kufikiri upya bila kufungwa na upande wowote wa mambo tuliyoyakuta. ¨BE GOOD, DO GOOD, BE ONE¨ ...st Kirpal Singh
6 Maoni::
mbwa na ni mteja tu anasubiri huduma ila anae toa huduma ndio katoka kidogo
Hapo umepatia Dada Mariam. Yawezekana mbwa katumwa na mwenye "duka" kakimbia kumuogopa. Na mbwa anaogopa kurudi nyumbani bila alichotumwa. Hapo kazi maana mbwa anasubiri auziwe, na muuzaji anasubiri mbwa atoke ndio arejee dukani.
Lol
:-)
Hapo mimi nimeona mbuzi anayekula majani na wala si mbwa.Naomba mzee wa Changamoto na mumyhery wanieleze wamejuaje kuwa huyo ni mbwa?.
interesting! picha moja, maelezo buku
Mimi nafikiri mbwa huyo ni wa muuzaji, na yupo kama mlinzi, ukiwa na nia ya kukwapua utamuogopa huyo dogi.
Huyo anayeona ni mbuzi ashindwe kwa jina la ......., sio Kamala lakini!!!
Post a Comment