labda hata sungura wanazunguka,tafadhali blogu hii irudi kwenye maadili sio vitu vya gizani please, ombi!
blog hii ni kwa ajili ya watu wanaopenda kufikri, kutoa hoja kujiuliza, kutafakari na kutafuta miendendo mipya. tujitambue, tutoke kwenye mazoea na kufikiri upya bila kufungwa na upande wowote wa mambo tuliyoyakuta. ¨BE GOOD, DO GOOD, BE ONE¨ ...st Kirpal Singh
labda hata sungura wanazunguka,
3 Maoni::
mmmmmm kaaazi kwelikweli hapo Kamala nawe!!!
We we we we we wewe Kamala wewe!
N'takusemea kwa da Koero kuwa unaanza kukiuka maadili.
kwani ni nini hicho mnachokemea? si wanacheza hao au wanafanya nini zaidi ya hapo? Da yasintha na Fadhy, ukikutana na rafikio wa siku nyingi ukam-hug kuna zaidi ya hapo? Ama mmesahau swali la Bwaya katika picha yenye taswira nyingi? Hii ya leo ina taswira ya kikuria ya ku-hug-iana na kupigana au vipi?
Post a Comment