Thursday, October 29, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
blog hii ni kwa ajili ya watu wanaopenda kufikri, kutoa hoja kujiuliza, kutafakari na kutafuta miendendo mipya. tujitambue, tutoke kwenye mazoea na kufikiri upya bila kufungwa na upande wowote wa mambo tuliyoyakuta. ¨BE GOOD, DO GOOD, BE ONE¨ ...st Kirpal Singh
4 Maoni::
Ama kweli Bongo Tambarare!
Nchi iliyozungukwa na maziwa yote makubwa Afrika maji safi kwa wananchi ni Kasheshe.:-(
Halafu eti MISRI ukatizako mto tu NILE ulioanzia hukuhuku kwetu wanaunafuu kwa kupata maji ya bomba kuliko BONGO!:-(
Ama kweli mwenye choo hajui kukinyea!
Simon Umesema kweli, Kamala ndoo moja ni shilingi ngapi?
kabla KL hajajibu pale kwetu Tarime ambako kampuni kubwa ya uchimbaji madini ya Barrick (www.barrick.com) ya kanada iko ndoo moja ya maji imefikia sh 2000!
Tena yaweza kuongezeka kwa kuwa mvua zimeanza na kemikali za sumu zinaingia mitoni
ni balaa
Chacha kwakwelihilo linahitaji utafiti wa hali ya juu. labda NEFTZ italishughulikia vyema.
Yasinta sijui ndoo moja ya maji shs ngapi lakini nakumbuka mwaka 2004 iliuzwa kati ya shs 200 mpaka 300 na sasa mito kadhaa imekauka kwa hiyo bei itakuwa imepanda tu.
Kitururu ni kweli,mwenye choo anakunya pembeni mwa tundu wakati wewe unayejua kunya tunduni unatamani choo bila mafanikio
Post a Comment