
!!!!
Yasinta pichani anasema.................
........asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu nami nikamuuliza kama mamaye huyo anaishi wapi? si iulimwenguni humo humo na hakuna tofauti kati ya mafunzo ya mama na ulimwnegu kwa sababu wote ni wamoja yaani wa ulimwenguni?
basi nimemaliza ziara yangu kwa wanyanchoka na hawana lolote kumbe mapigano yao ni ya kizamaani tu na nimetoka nila hata kipande cha ngewe ila duh mambo ya hapa!!!!
6 Maoni::
Kamala:-(
Mi yangu macho!
Tutafika tu
Baba hiyo mada ngumu, inahitaji mjadala mpana kweli wa ki-filosofia.
Duh, majibu mengine ni bandika bandika, na wala sio bandika bandua :-(
Post a Comment