Subscribe to:
Post Comments (Atom)
blog hii ni kwa ajili ya watu wanaopenda kufikri, kutoa hoja kujiuliza, kutafakari na kutafuta miendendo mipya. tujitambue, tutoke kwenye mazoea na kufikiri upya bila kufungwa na upande wowote wa mambo tuliyoyakuta. ¨BE GOOD, DO GOOD, BE ONE¨ ...st Kirpal Singh
7 Maoni::
Hee!! hiyo sasa kali nilidhan kuna huu msemo usemao nikilala kitandani basi ujue mzungu wa nne...LOL
Hapo kwani kuzunguka kitanda sio Ruksa?:-)
Kwani hiyo fensi imetiwa umeme?...lol
kama haijatiwa umeme basi kuvuka ruksaaa...lol watu walishavunja nyumba zenye gril itakuwa hayo mambo ya fensi ya waya...lol
Unaweza kuzunguka kitanda au kuruka hilo fensi - kigongo ni fensi lililomo kichwani mwa huyo mama kwani inavyoonekana amedhamiria kweli kweli. Na unavuka fensi ili ukafanye nini wakati mambo umeyatibua mwenyewe?
Kazi kwelikweli.Tatizo kuvuka mpaka alioweka kichwani.
ha ha haaa.....
Post a Comment