mjadala wa ndoa bado unaendelea ila ishu ni shughuli kibaaao zilizonitinga mpaka basi
kwa taarifa tu ni kwamba baadaye leo nitaonana na mwanakijiji maggid mjengwa pale karibu na faya pale au sio kesho mjadala utaendelea tu
blog hii ni kwa ajili ya watu wanaopenda kufikri, kutoa hoja kujiuliza, kutafakari na kutafuta miendendo mipya. tujitambue, tutoke kwenye mazoea na kufikiri upya bila kufungwa na upande wowote wa mambo tuliyoyakuta. ¨BE GOOD, DO GOOD, BE ONE¨ ...st Kirpal Singh
4 Maoni::
I hope huko bize katika kufikiri pia, ne? ...........lol
Kila la kheri Kamala!!!
Tuko pamoja!
sawasawa
Post a Comment