blog hii ni kwa ajili ya watu wanaopenda kufikri, kutoa hoja kujiuliza, kutafakari na kutafuta miendendo mipya. jitambue
¨BE GOOD, DO GOOD, BE ONE¨ ...st Kirpal Singh
Hongereni sana bwana na bibi Lutatinisibwa Lutabasibwa kwa kutimiza miaka 2 ya ndoa. Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki mpate tunda jingine kwani moja tayari tumeliona:-)
Lakini mumefanana kweli. Mumewauliza wazee nyie sie ndugu hata kidogo kabla ya hapo?
(Na waza kwa sauti tu, labda ninawivu, mnapendeza wote wawili, sura zenu nzuri, tabasamu zenu nzuri. Nawatakieni ushirikiano wa milele katika magumu na mazuri...Amina!)
5 Maoni::
Hongereni sana bwana na bibi Lutatinisibwa Lutabasibwa kwa kutimiza miaka 2 ya ndoa. Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki mpate tunda jingine kwani moja tayari tumeliona:-)
Safi sana!
Lakini mumefanana kweli. Mumewauliza wazee nyie sie ndugu hata kidogo kabla ya hapo?
(Na waza kwa sauti tu, labda ninawivu, mnapendeza wote wawili, sura zenu nzuri, tabasamu zenu nzuri. Nawatakieni ushirikiano wa milele katika magumu na mazuri...Amina!)
Hongereni sana jamani, Mungu azidi kuwa nanyi na azidi kuwaongezea upendo.
@Kaka Manyanya jamani acha kuwarusha roho wenzio, ingawa hata mimi naona wamefanana.
Mbarikiwe.
Miaka miwili tayari ishapita? Hongereni!
Nasikia mna watoto 4 sasa na sio mapacha....
Hongereni bana nyie vijana!
Post a Comment